Swali: Ni ipi hukumu ya kupiga picha kwa simu kama tunavyoona [msikiti wa] Haram?
Jibu: Haijuzu kupiga picha, si kwa simu, camera, kuchora na kunakili. Picha ni haramu kwa aina zake zote. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa salam) amewalaani watengeneza picha na kueleza kuwa ndio watu wataokuwa na adhabu kali siku ya Qiyaamah. Aina zote za picha ni haramu. Hili linahusiana na picha za viumbe wenye roho. Ni mamoja iwe katika Haram au kwengine. Ijapokuwa picha Haram ni khatari zaidi. Kwa sababu kufanya maasi Haram ni kubaya zaidi kuliko kufanya maasi nje ya Haram.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13389
- Imechapishwa: 25/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kupiga picha kwa simu kama tunavyoona [msikiti wa] Haram?
Jibu: Haijuzu kupiga picha, si kwa simu, camera, kuchora na kunakili. Picha ni haramu kwa aina zake zote. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa salam) amewalaani watengeneza picha na kueleza kuwa ndio watu wataokuwa na adhabu kali siku ya Qiyaamah. Aina zote za picha ni haramu. Hili linahusiana na picha za viumbe wenye roho. Ni mamoja iwe katika Haram au kwengine. Ijapokuwa picha Haram ni khatari zaidi. Kwa sababu kufanya maasi Haram ni kubaya zaidi kuliko kufanya maasi nje ya Haram.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13389
Imechapishwa: 25/04/2018
https://firqatunnajia.com/picha-kwa-aina-zake-zote-ni-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)