Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete ya fedha kidoleni?
Jibu: Hakuna ubaya wowote kuvaa pete. Ni mamoja mtu akavaa kuliani au kushotoni. Bora ni kuvaa kwenye kidole kidogo kama alivofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah.
Kuhusu kuvaa dhahabu haijuzu kwa wanamume. Pete ya dhahabu au cheni ya dhahabu ni kwa wanawake wanaivaa shingoni. Ni kitu kisichofaa kwa wanamume. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewakataza wanaume kuvaa pete ya dhahabu. Wakati alipomuona mwanamume mmoja amevaa pete ya dhahabu akamvua nayo na akaitupa na akasema:
“Atathubutu vipi mmoja wenu kuweka kaa la moto mkononi mwake?”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/3975/%D9%85%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%86%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D9%84%D8%A8%D8%B3-%D8%A7%D9%84%D8%AE%D8%A7%D8%AA%D9%85
- Imechapishwa: 29/03/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa pete ya fedha kidoleni?
Jibu: Hakuna ubaya wowote kuvaa pete. Ni mamoja mtu akavaa kuliani au kushotoni. Bora ni kuvaa kwenye kidole kidogo kama alivofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah.
Kuhusu kuvaa dhahabu haijuzu kwa wanamume. Pete ya dhahabu au cheni ya dhahabu ni kwa wanawake wanaivaa shingoni. Ni kitu kisichofaa kwa wanamume. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewakataza wanaume kuvaa pete ya dhahabu. Wakati alipomuona mwanamume mmoja amevaa pete ya dhahabu akamvua nayo na akaitupa na akasema:
“Atathubutu vipi mmoja wenu kuweka kaa la moto mkononi mwake?”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ad-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/3975/%D9%85%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%86%D8%A9-%D9%81%D9%8A-%D9%84%D8%A8%D8%B3-%D8%A7%D9%84%D8%AE%D8%A7%D8%AA%D9%85
Imechapishwa: 29/03/2020
https://firqatunnajia.com/pete-ya-dhahabu-kwa-wanamume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)