Swali: Kuna mtu alinipa 70.000 SAR swadaqah na akanambia kwamba ni pesa za ribaa. Nina mafukara wengi. Je, inajuzu kwangu kuwapa pesa hizi?
Jibu: Ndio. Hii ni kama pesa iliopotea. Inatolewa kwa ajili ya manufaa, mafukara, masikini na miradhi ya kijumla. Ni kama pesa iliopotea isiyokuwa na mmiliki. Pesa ya ribaa haina mmiliki.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 30/06/2018
Swali: Kuna mtu alinipa 70.000 SAR swadaqah na akanambia kwamba ni pesa za ribaa. Nina mafukara wengi. Je, inajuzu kwangu kuwapa pesa hizi?
Jibu: Ndio. Hii ni kama pesa iliopotea. Inatolewa kwa ajili ya manufaa, mafukara, masikini na miradhi ya kijumla. Ni kama pesa iliopotea isiyokuwa na mmiliki. Pesa ya ribaa haina mmiliki.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 30/06/2018
https://firqatunnajia.com/pesa-ya-ribaa-kwa-masikini-na-wahitaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)