Swali: Nakaribia kustafu kazi. Je, niache kazi na kusamehe haki zangu kwa sababu nimesikia kuwa pesa ya kustafu ina utata?
Jibu: Haina utata – Allaah akitaka. Inatoka katika wizara ya fedha na sio shughuli kati ya watu wawili mpaka mtu aseme kuwa imefanana na ribaa. Pesa ya kustafu ni haki ya huyu mfanyakazi kutoka kwenye wizara ya fedha. Endelea na kazi yako na kisha utaishi kwa kutegemea pesa yako ya kustafu. Nataraji Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) ataifanya ni yenye baraka kwako.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (58)
- Imechapishwa: 14/11/2019
Swali: Nakaribia kustafu kazi. Je, niache kazi na kusamehe haki zangu kwa sababu nimesikia kuwa pesa ya kustafu ina utata?
Jibu: Haina utata – Allaah akitaka. Inatoka katika wizara ya fedha na sio shughuli kati ya watu wawili mpaka mtu aseme kuwa imefanana na ribaa. Pesa ya kustafu ni haki ya huyu mfanyakazi kutoka kwenye wizara ya fedha. Endelea na kazi yako na kisha utaishi kwa kutegemea pesa yako ya kustafu. Nataraji Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) ataifanya ni yenye baraka kwako.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (58)
Imechapishwa: 14/11/2019
https://firqatunnajia.com/pesa-ya-kustafu-ni-haki-ya-wastaafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)