Swali: Kumepokelewa makatazo ya kuomba du´aa kwa kusema:
اللهم اغفر لي إن شئت
“Ee Allaah! Nisamehe ukitaka.”
اللهم ارحمني إن شئت
“Ee Allaah! Nirehemu ukitaka.”
Je, mtu anaweza kulinganisha na kuomba du´aa kwa kusema:
الله يهديك إن شاء الله
“Allaah akuongoze akitaka.”
الله يرحمك إن شاء الله
“Allaah akurehemu akitaka.”?
Jibu: Ndio, mwombee nduguyo uongofu na wala usifanye uvuaji. Unaposema ´Allaah akitaka` ina maana kwamba hauko thabiti na moyo mmoja katika du´aa yako. Kwa hivyo ni lazima uiamulie na uwe na moyo mmoja na wala usifanye uvuaji.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 27/12/2020
Swali: Kumepokelewa makatazo ya kuomba du´aa kwa kusema:
اللهم اغفر لي إن شئت
“Ee Allaah! Nisamehe ukitaka.”
اللهم ارحمني إن شئت
“Ee Allaah! Nirehemu ukitaka.”
Je, mtu anaweza kulinganisha na kuomba du´aa kwa kusema:
الله يهديك إن شاء الله
“Allaah akuongoze akitaka.”
الله يرحمك إن شاء الله
“Allaah akurehemu akitaka.”?
Jibu: Ndio, mwombee nduguyo uongofu na wala usifanye uvuaji. Unaposema ´Allaah akitaka` ina maana kwamba hauko thabiti na moyo mmoja katika du´aa yako. Kwa hivyo ni lazima uiamulie na uwe na moyo mmoja na wala usifanye uvuaji.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
Imechapishwa: 27/12/2020
https://firqatunnajia.com/omba-duaa-kwa-moyo-mmoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)