Swali: Ni Sunnah na imependekezwa kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?
Jibu: Ni Sunnah ikiwa ni kwa mtindo ule wa nywele za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini itakuwa sio Sunnah ikiwa sio kwa mtindo ule wa nywele za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
- Imechapishwa: 13/08/2017
Swali: Ni Sunnah na imependekezwa kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?
Jibu: Ni Sunnah ikiwa ni kwa mtindo ule wa nywele za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini itakuwa sio Sunnah ikiwa sio kwa mtindo ule wa nywele za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (66) http://alfawzan.af.org.sa/node/16524
Imechapishwa: 13/08/2017
https://firqatunnajia.com/nywele-ndefu-za-mwanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)