Swali: Watu wasiokuwa na elimu wamezowea yule ambaye gari yake inaungua au nyumba yake ikaanguka wanasema kwamba mtu huyo alikuwa na mali ya haramu na kwamba mali ya halali haiungui na haifanyi nyumba kuanguka. Je, unaweza kutuwekea wazi hili?
Jibu: Ni nani mwenye kusema hivi? Nyumba ya halali pia inaweza kufanya nyumba kuanguka kama ambavyo gari pia inaweza kuungua hata inatokamana na pesa ya halali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
- Imechapishwa: 09/10/2017
Swali: Watu wasiokuwa na elimu wamezowea yule ambaye gari yake inaungua au nyumba yake ikaanguka wanasema kwamba mtu huyo alikuwa na mali ya haramu na kwamba mali ya halali haiungui na haifanyi nyumba kuanguka. Je, unaweza kutuwekea wazi hili?
Jibu: Ni nani mwenye kusema hivi? Nyumba ya halali pia inaweza kufanya nyumba kuanguka kama ambavyo gari pia inaweza kuungua hata inatokamana na pesa ya halali.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
Imechapishwa: 09/10/2017
https://firqatunnajia.com/nyumba-na-gari-yenye-kuungua-inatokana-na-pesa-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)