Swali: Katika zile siku kumi za mwisho za Ramadhaan kunaenezwa nyujumbe mbalimbali kulengeshwa tarehe ya usiku wa Qadr kupitia ndoto za baadhi ya watu wema. Wamesema kuwa jambo hilo limekariri katika miaka iliyotangulia. Ni kipi kidhibiti cha jambo hilo?
Jibu: Ni kana kwamba mtu huyu ameijua elimu ambayo haikujulikana hata na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuujua wala hakuwalengeshea nao watu. Badala yake aliwahimiza kuutafuta katika zile nyusiku za witiri. Yeye mwenyewe (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiutafuta. Hakulengesha. Ina maana huyu amekuja baada ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akaujua? Ni uongo na uzushi sampuli gani huu?
Tahadharini na simu hizi. Zimekuwa mara nyingi zikitumika kama njia ya kueneza Bid´ah, mambo ya ukhurafi na nyujumbe za uongo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-10-7.mp3
- Imechapishwa: 14/05/2020
Swali: Katika zile siku kumi za mwisho za Ramadhaan kunaenezwa nyujumbe mbalimbali kulengeshwa tarehe ya usiku wa Qadr kupitia ndoto za baadhi ya watu wema. Wamesema kuwa jambo hilo limekariri katika miaka iliyotangulia. Ni kipi kidhibiti cha jambo hilo?
Jibu: Ni kana kwamba mtu huyu ameijua elimu ambayo haikujulikana hata na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuujua wala hakuwalengeshea nao watu. Badala yake aliwahimiza kuutafuta katika zile nyusiku za witiri. Yeye mwenyewe (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiutafuta. Hakulengesha. Ina maana huyu amekuja baada ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambapo akaujua? Ni uongo na uzushi sampuli gani huu?
Tahadharini na simu hizi. Zimekuwa mara nyingi zikitumika kama njia ya kueneza Bid´ah, mambo ya ukhurafi na nyujumbe za uongo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/bryhari–1427-10-7.mp3
Imechapishwa: 14/05/2020
https://firqatunnajia.com/nyujumbe-zinazolengesha-tarehe-ya-usiku-wa-qadr-kupitia-ndoto-za-waja-wema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)