Swali: Mama yangu ananiamrisha kuzinyoa ndevu zangu ili baadaye zimee kwa wingi. Je, inafaa kumtii katika hilo?

Jibu: Hapana, asimtii katika hilo. Hii ni dhambi na mama yake ni mjinga. Asimtii katika hili. Aziache ndevu kama alivyoziumba Allaah na wala asiziguse eti ili ziwe nyingi. Aridhie yale aliyomwandikia Allaah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
  • Imechapishwa: 13/05/2019