Swali: Inazingatiwa kuwa naitetea dini na nchi nikitumia njia za mawasiliano ili kutahadharisha fitina na kueneza madhehebu ya haki?
Jibu: Ndio, ikiwa una uwezo wa hili, elimu na hekima na ukatumia njia hizi ili kueneza elimu yenye manufaa, ulinganizi katika dini ya Allaah na kutengeneza, ni njia sahihi. Njia hizi zitakusaidia kueneza haki.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: at-Tahdhiyr min Du´aat-is-Suu’
- Imechapishwa: 05/09/2020
Swali: Inazingatiwa kuwa naitetea dini na nchi nikitumia njia za mawasiliano ili kutahadharisha fitina na kueneza madhehebu ya haki?
Jibu: Ndio, ikiwa una uwezo wa hili, elimu na hekima na ukatumia njia hizi ili kueneza elimu yenye manufaa, ulinganizi katika dini ya Allaah na kutengeneza, ni njia sahihi. Njia hizi zitakusaidia kueneza haki.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: at-Tahdhiyr min Du´aat-is-Suu’
Imechapishwa: 05/09/2020
https://firqatunnajia.com/njia-za-mawasiliano-katika-dawah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)