Swali: Inajuzu kuswali Witr kwa Tashahhud moja ambapo mtu haketi isipokuwa katika ile Rak´ah ya tatu?
Jibu: Kuna aina mbili za kuswali kwa yule anayetaka kuswali Witr:
Ya kwanza: Akaswali Rak´ah mbili kwanza. Kisha akaswali Witr kwa Rak´ah moja.
Ya pili: Akaswali Rak´ah tatu kwa mpigo na asipambanue kati yake kwa kuketi wala kutoa Tasliym. Kwa sababu yote hayo yamepokelewa kutoka kwa Salaf. Nadhani pia kuwa kuna Hadiyth iliyorufaishwa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya kuswali tatu [kwa pamoja][1].
[1] Abu Daawuud (1422).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (14/116-117)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Inajuzu kuswali Witr kwa Tashahhud moja ambapo mtu haketi isipokuwa katika ile Rak´ah ya tatu?
Jibu: Kuna aina mbili za kuswali kwa yule anayetaka kuswali Witr:
Ya kwanza: Akaswali Rak´ah mbili kwanza. Kisha akaswali Witr kwa Rak´ah moja.
Ya pili: Akaswali Rak´ah tatu kwa mpigo na asipambanue kati yake kwa kuketi wala kutoa Tasliym. Kwa sababu yote hayo yamepokelewa kutoka kwa Salaf. Nadhani pia kuwa kuna Hadiyth iliyorufaishwa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya kuswali tatu [kwa pamoja][1].
[1] Abu Daawuud (1422).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (14/116-117)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/njia-mbili-za-kuswali-witr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)