Swali: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّـهَ وَابْتَغُوا إِلَيْهِ الْوَسِيلَةَ
“Enyi walioamini! Mcheni Allaah na tafuteni njia za kumkurubia.” (05:35)
Ni yepi makusudio ya njia?
Jibu: Njia ni ukaribu. Tafuteni njia kwa kumtii (Subhaanahu wa Ta´ala). Utiifu ni njia kwa sababu kunakukurubisha kwa Allaah. Njia si yale yanayosemwa na makhurafi; ya kwamba uweke kati yako wewe na Allaah mkati na kati ambaye atakukurubisha mbele ya Allaah na atakuombea. Huu ni uongo, uzushi na ujinga.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 30/06/2018
Swali: Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّـهَ وَابْتَغُوا إِلَيْهِ الْوَسِيلَةَ
“Enyi walioamini! Mcheni Allaah na tafuteni njia za kumkurubia.” (05:35)
Ni yepi makusudio ya njia?
Jibu: Njia ni ukaribu. Tafuteni njia kwa kumtii (Subhaanahu wa Ta´ala). Utiifu ni njia kwa sababu kunakukurubisha kwa Allaah. Njia si yale yanayosemwa na makhurafi; ya kwamba uweke kati yako wewe na Allaah mkati na kati ambaye atakukurubisha mbele ya Allaah na atakuombea. Huu ni uongo, uzushi na ujinga.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 30/06/2018
https://firqatunnajia.com/njia-kwa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)