Swali: Tunataka kujua ni vipi tutajibu salamu kwa ambaye katutolea salamu na sisi tuko sehemu ya kujisaidia?
Jibu: Mosi ni kwamba asitolewe salamu mtu ambaye yuko sehemu ya kujisaidia mpaka pale atapotoka. Lakini tukichukulia kuwa ameshatolewa salamu, katika hali hii hakuna njia ya kuitikia salamu. Kwa kuwa akiashiria hatomuona, na akiitikia kwa kutamka haifia kwake kumuomba Allaah (Ta´ala) sehemu kama hii. Anachotakiwa ni yeye kusubiri; ikiwa rafiki yake bado yupo amrudishie na yeye salamu na la sivyo kumrudishia kutakuwa kumeanguka kwa sababu ametolewa salamu katika hali ambayo hawezi kuitikia.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (13)
- Imechapishwa: 20/08/2017
Swali: Tunataka kujua ni vipi tutajibu salamu kwa ambaye katutolea salamu na sisi tuko sehemu ya kujisaidia?
Jibu: Mosi ni kwamba asitolewe salamu mtu ambaye yuko sehemu ya kujisaidia mpaka pale atapotoka. Lakini tukichukulia kuwa ameshatolewa salamu, katika hali hii hakuna njia ya kuitikia salamu. Kwa kuwa akiashiria hatomuona, na akiitikia kwa kutamka haifia kwake kumuomba Allaah (Ta´ala) sehemu kama hii. Anachotakiwa ni yeye kusubiri; ikiwa rafiki yake bado yupo amrudishie na yeye salamu na la sivyo kumrudishia kutakuwa kumeanguka kwa sababu ametolewa salamu katika hali ambayo hawezi kuitikia.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (13)
Imechapishwa: 20/08/2017
https://firqatunnajia.com/nini-cha-kufanya-ukitolewa-salamu-choni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)