Swali: Mimi nina mwana ambaye amefikisha miaka kumi na mbili. Je, nimlazimishe kufunga au kufunga kwake ni kwa khiyari na sio lazima kwake pamoja na kujua ya kwamba huenda asiweze kufunga mwezi mzima?
Jibu: Ikiwa mtoto wako huyo uliyemtaja hajabaleghe basi si lazima kwake kufunga. Lakini ni wajibu kwako kumlazimisha kufunga ikiwa anaweza kufanya hivo ili ajizoweze kama ambavo anaamrishwa swalah anapofikisha miaka kumi na kupigwa kwa ajili ya hiyo swalah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/181)
- Imechapishwa: 16/05/2018
Swali: Mimi nina mwana ambaye amefikisha miaka kumi na mbili. Je, nimlazimishe kufunga au kufunga kwake ni kwa khiyari na sio lazima kwake pamoja na kujua ya kwamba huenda asiweze kufunga mwezi mzima?
Jibu: Ikiwa mtoto wako huyo uliyemtaja hajabaleghe basi si lazima kwake kufunga. Lakini ni wajibu kwako kumlazimisha kufunga ikiwa anaweza kufanya hivo ili ajizoweze kama ambavo anaamrishwa swalah anapofikisha miaka kumi na kupigwa kwa ajili ya hiyo swalah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/181)
Imechapishwa: 16/05/2018
https://firqatunnajia.com/nimlazimishe-mtoto-wa-miaka-12-kufunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)