Swali: Nimefiwa na ndugu ambaye alikuwa anafunga lakini hata hivyo haswali. Je, nimhijie?
Jibu: Maoni sahihi ni kuwa ikiwa alikuwa haswali kabisa basi haijuzu kumhijia kwa sababu kuacha swalah ni kufuru na kuritadi. Haya ndio maoni sahihi yanayosapotiwa na dalili na ambayo Maswahabah wameafikiana kwayo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qaa´idah al-Marraakushiyyah (04)
- Imechapishwa: 30/04/2020
Swali: Nimefiwa na ndugu ambaye alikuwa anafunga lakini hata hivyo haswali. Je, nimhijie?
Jibu: Maoni sahihi ni kuwa ikiwa alikuwa haswali kabisa basi haijuzu kumhijia kwa sababu kuacha swalah ni kufuru na kuritadi. Haya ndio maoni sahihi yanayosapotiwa na dalili na ambayo Maswahabah wameafikiana kwayo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Qaa´idah al-Marraakushiyyah (04)
Imechapishwa: 30/04/2020
https://firqatunnajia.com/nimhijie/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)