Swali: Mke wangu ananiudhi sana kwa maneno yake machafu na nimeshamvumilia sana. Je, talaka ndio suluhu?
Jibu: Talaka ndio kitu cha mwisho. Mvumilie na uwe na subira kwake. Maadamu ni mke wako na heunda ni mama wa watoto wako kuwa na subira kwake. Usikimbilie talaka isipokuwa wakati wa dharurah. Ikiwa huwezi kabisa kubaki naye basi hali ya mwisho ndio iwe talaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14020
- Imechapishwa: 22/04/2018
Swali: Mke wangu ananiudhi sana kwa maneno yake machafu na nimeshamvumilia sana. Je, talaka ndio suluhu?
Jibu: Talaka ndio kitu cha mwisho. Mvumilie na uwe na subira kwake. Maadamu ni mke wako na heunda ni mama wa watoto wako kuwa na subira kwake. Usikimbilie talaka isipokuwa wakati wa dharurah. Ikiwa huwezi kabisa kubaki naye basi hali ya mwisho ndio iwe talaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14020
Imechapishwa: 22/04/2018
https://firqatunnajia.com/nimfanye-nini-mke-mwenye-ulimi-mchafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)