Swali: Kuna wakati nawasikia baadhi ya watu wema wakisema:
“Wakati wangu wa Ujaahiliyyah nilikuwa nikifanya hivi na vile.”
Je, inafaa kunasibisha kitendo hichi na wakati wa Ujaahiliyyah?
Jibu: Ni Jaahiliyyah kwa nisba yake yeye na si kwa nisba ya watu wote. Ni Jaahiliyyah kwa nisba yake yeye. Anachomaanisha ni katika Ujaahiliyyah wake. Iwapo atasema:
“Nilikuwa nafanya hivi na vile katika Ujaahiliyyah wangu.”
ndio sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (06) http://alfawzan.af.org.sa/node/2049
- Imechapishwa: 11/12/2016
Swali: Kuna wakati nawasikia baadhi ya watu wema wakisema:
“Wakati wangu wa Ujaahiliyyah nilikuwa nikifanya hivi na vile.”
Je, inafaa kunasibisha kitendo hichi na wakati wa Ujaahiliyyah?
Jibu: Ni Jaahiliyyah kwa nisba yake yeye na si kwa nisba ya watu wote. Ni Jaahiliyyah kwa nisba yake yeye. Anachomaanisha ni katika Ujaahiliyyah wake. Iwapo atasema:
“Nilikuwa nafanya hivi na vile katika Ujaahiliyyah wangu.”
ndio sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (06) http://alfawzan.af.org.sa/node/2049
Imechapishwa: 11/12/2016
https://firqatunnajia.com/nilifanya-kitu-fulani-katika-ujaahiliyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)