Swali: Mwanamke akitwaharika na damu ya uzazi kabla ya masiku arubaini. Je, ni wajibu kwake kufunga ikiwa ni Ramadhaan?
Jibu: Ndio. Damu yake ikikatika basi anatakiwa kuoga na kufunga. Damu ikimrudilia aache kufunga. Funga yake aliyofunga masiku yaliyoisha ni kamilifu na sahihi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (90) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20-15-07-1439.lite__0_0.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2018
Swali: Mwanamke akitwaharika na damu ya uzazi kabla ya masiku arubaini. Je, ni wajibu kwake kufunga ikiwa ni Ramadhaan?
Jibu: Ndio. Damu yake ikikatika basi anatakiwa kuoga na kufunga. Damu ikimrudilia aache kufunga. Funga yake aliyofunga masiku yaliyoisha ni kamilifu na sahihi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (90) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20-15-07-1439.lite__0_0.mp3
Imechapishwa: 22/08/2018
https://firqatunnajia.com/nifasi-imekatika-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)