Swali: Je, kuna matendo ambayo anaweza kufanya mtu ili aweze kumuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) usingizini?
Jibu: Ndugu! Usijikalifishe kutaka kumuona Mtume. Wewe fuata Sunnah za (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na hili linakutosheleza. Ukijaaliwa kumuona Mtume ilihali unajua sifa zake ni vizuri, la sivyo sio jambo la lazima. Lililo juu yako ni kutendea kazi Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
- Imechapishwa: 13/04/2018
Swali: Je, kuna matendo ambayo anaweza kufanya mtu ili aweze kumuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) usingizini?
Jibu: Ndugu! Usijikalifishe kutaka kumuona Mtume. Wewe fuata Sunnah za (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na hili linakutosheleza. Ukijaaliwa kumuona Mtume ilihali unajua sifa zake ni vizuri, la sivyo sio jambo la lazima. Lililo juu yako ni kutendea kazi Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
Imechapishwa: 13/04/2018
https://firqatunnajia.com/nifanye-mambo-gani-ili-nimuone-mtume-usingizini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)