Swali: Ni zipi nguzo na masharti ya I´tikaaf? Inasihi kufanya I´tikaaf bila ya mtu kufunga?
Jibu: Nguzo ya I´tikaaf, ni kama tulivyosema, ni mtu kulazimiana na msikiti kwa ajili ya kumtii na kumuabudu Allaah (´Azza wa Jall), kujikurubisha Kwake na mtu kupata nafasi ya kumuabudu. Kuhusu masharti yake ni kama masharti ya ´ibaadah zengine ambapo miongoni mwazo ni Uislamu na akili. I´tikaaf inasihi kwa ambaye hajabaleghe, mvulana na msichana. Inasihi kufanya I´tikaaf bila ya swawm. Inasihi kufanya I´tikaaf katika kila msikiti.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/162)
- Imechapishwa: 16/06/2017
Swali: Ni zipi nguzo na masharti ya I´tikaaf? Inasihi kufanya I´tikaaf bila ya mtu kufunga?
Jibu: Nguzo ya I´tikaaf, ni kama tulivyosema, ni mtu kulazimiana na msikiti kwa ajili ya kumtii na kumuabudu Allaah (´Azza wa Jall), kujikurubisha Kwake na mtu kupata nafasi ya kumuabudu. Kuhusu masharti yake ni kama masharti ya ´ibaadah zengine ambapo miongoni mwazo ni Uislamu na akili. I´tikaaf inasihi kwa ambaye hajabaleghe, mvulana na msichana. Inasihi kufanya I´tikaaf bila ya swawm. Inasihi kufanya I´tikaaf katika kila msikiti.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/162)
Imechapishwa: 16/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-zipi-nguzo-na-masharti-ya-itikaaf/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)