Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu ambaye anagusa msahafu ilihali yuko na hadathi?
Jibu: Haijuzu kugusa msahafi ilihali mtu yuko na hadathi. Amesema (Ta´ala):
لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ
“Haigusi isipokuwa waliotwaharishwa kabisa.” (16:79)
Katika Hadiyth ya ´Amr bin Hazm ambaye amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haigusi Qur-aan isipokuwa yule mwenye twahara.”
Haya ndio maoni ya wale maimamu wane. Haifai kuigusa Qur-aan isipokuwa yule ambaye yuko na wudhuu´.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 20/01/2019
Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu kuhusu ambaye anagusa msahafu ilihali yuko na hadathi?
Jibu: Haijuzu kugusa msahafi ilihali mtu yuko na hadathi. Amesema (Ta´ala):
لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ
“Haigusi isipokuwa waliotwaharishwa kabisa.” (16:79)
Katika Hadiyth ya ´Amr bin Hazm ambaye amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Haigusi Qur-aan isipokuwa yule mwenye twahara.”
Haya ndio maoni ya wale maimamu wane. Haifai kuigusa Qur-aan isipokuwa yule ambaye yuko na wudhuu´.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 20/01/2019
https://firqatunnajia.com/ni-yepi-maoni-yenye-nguvu-kuhusu-ambaye-anagusa-msahafu-ilihali-yuko-na-hadathi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)