Swali: Aliye na mimba akila Ramadhaan. Je, anawajibika kulipa au kulisha tu?
Jibu: Ikiwa alikula kwa kuikhofia nafsi yake, anawajibika kulipa tu. Na ikiwa alikuwa kwa kukhofia mtoto wake, anawajibika pia kulipa tu. Na ikiwa alikula kwa kukhofia mtoto wake na si kwa kuikhofia nafsi yake, anawajibika kulipa pamoja na kulisha masikini kwa kila siku moja 1,5 kg chakula kinacholiwa sana na watu mahala alipo.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
- Imechapishwa: 10/05/2020
Swali: Aliye na mimba akila Ramadhaan. Je, anawajibika kulipa au kulisha tu?
Jibu: Ikiwa alikula kwa kuikhofia nafsi yake, anawajibika kulipa tu. Na ikiwa alikuwa kwa kukhofia mtoto wake, anawajibika pia kulipa tu. Na ikiwa alikula kwa kukhofia mtoto wake na si kwa kuikhofia nafsi yake, anawajibika kulipa pamoja na kulisha masikini kwa kila siku moja 1,5 kg chakula kinacholiwa sana na watu mahala alipo.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kwa-mwanamke-mimba-kulipa-siku-alizokula/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)