Swali: Kafiri ni wajibu kulipa siku zilizompita za Ramadhaan kabla ya kusilimu kwake?
Jibu: Haimlazimu kulipa siku zilizokuwa kabla ya Uislamu wake. Kabla ya hapo maamrisho ya kufunga hayakuwa hakimgusa. Hakuwa miongoni mwa inaowalazimu swawm mpaka mtu aseme kuwa ni lazima kuzilipa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/98)
- Imechapishwa: 03/06/2017
Swali: Kafiri ni wajibu kulipa siku zilizompita za Ramadhaan kabla ya kusilimu kwake?
Jibu: Haimlazimu kulipa siku zilizokuwa kabla ya Uislamu wake. Kabla ya hapo maamrisho ya kufunga hayakuwa hakimgusa. Hakuwa miongoni mwa inaowalazimu swawm mpaka mtu aseme kuwa ni lazima kuzilipa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/98)
Imechapishwa: 03/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kwa-kafiri-kulipa-siku-zilizompita-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)