Swali: Ni ipi njia sahihi na iliyowekwa katika Shari´ah ya kupangusa juu ya soksi? Mtu anatakiwa kuzipangusa zote mbili kwa wakati mmoja au aanze kwanza na ya upande wa kulia kisha upande wa kushoto?
Jibu: Zote ni sawa. Muhimu ni yeye kuzipangusa zote mbili, kwa njia yoyote ambayo ni nyepesi kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Ni ipi njia sahihi na iliyowekwa katika Shari´ah ya kupangusa juu ya soksi? Mtu anatakiwa kuzipangusa zote mbili kwa wakati mmoja au aanze kwanza na ya upande wa kulia kisha upande wa kushoto?
Jibu: Zote ni sawa. Muhimu ni yeye kuzipangusa zote mbili, kwa njia yoyote ambayo ni nyepesi kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/ni-vipi-soksi-zinapanguswa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)