Swali: Ni vipi mtu atabeba jukumu/amana ilihali amekalifishwa na hakupewa chaguo katika jukumu hilo?
Jibu: Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَحَمَلَهَا الْإِنسَانُ
“… lakini akaibeba mtu.”[1]
Allaah (´Azza wa Jall) hamdhulumu yeyote. Lau mtu asingelichagua jukumu hili akalibeba basi asingelisema:
وَحَمَلَهَا الْإِنسَانُ
“… lakini akaibeba mtu.”
Kama tulivyotaja katika tafsiri ya kwamba mtu amebeba majukumu hayo kutokana na ile akili ambayo Allaah amempa, kuyaendesha mambo, Mitume aliotumiliziwa na akateremshiwa Vitabu. Ni kama kwamba amesema kwamba yeye ndiye mwenye kuistahiki na kwamba atayabeba kwa sababu yeye ndiye yuko na Qur-aan, Sunnah, akili na uwezo wa kuyapambanua mambo.
[1] 33:72
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1761
- Imechapishwa: 21/09/2020
Swali: Ni vipi mtu atabeba jukumu/amana ilihali amekalifishwa na hakupewa chaguo katika jukumu hilo?
Jibu: Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَحَمَلَهَا الْإِنسَانُ
“… lakini akaibeba mtu.”[1]
Allaah (´Azza wa Jall) hamdhulumu yeyote. Lau mtu asingelichagua jukumu hili akalibeba basi asingelisema:
وَحَمَلَهَا الْإِنسَانُ
“… lakini akaibeba mtu.”
Kama tulivyotaja katika tafsiri ya kwamba mtu amebeba majukumu hayo kutokana na ile akili ambayo Allaah amempa, kuyaendesha mambo, Mitume aliotumiliziwa na akateremshiwa Vitabu. Ni kama kwamba amesema kwamba yeye ndiye mwenye kuistahiki na kwamba atayabeba kwa sababu yeye ndiye yuko na Qur-aan, Sunnah, akili na uwezo wa kuyapambanua mambo.
[1] 33:72
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1761
Imechapishwa: 21/09/2020
https://firqatunnajia.com/ni-vipi-mwanadamu-atakuwa-ni-mwenye-kubeba-jukumu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)