Swali: Ni vipi inakuwa swalah ya khofu (صلاة الخوف) ikiwa ni Maghrib?
Jibu: Kundi la kwanza linaswali zile Rak´ah mbili za mwanzo. Kisha liswali Rak´ah moja kivyake na huku imamu bado amesimama. Kisha kuje kundi la pili na liswali Rak´ah moja na imamu. Halafu imame abaki amekaa na huku kundi hilo liswali Rak´ah mbili zilizobaki na wakamilishe Maghrib.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 17/09/2017
Swali: Ni vipi inakuwa swalah ya khofu (صلاة الخوف) ikiwa ni Maghrib?
Jibu: Kundi la kwanza linaswali zile Rak´ah mbili za mwanzo. Kisha liswali Rak´ah moja kivyake na huku imamu bado amesimama. Kisha kuje kundi la pili na liswali Rak´ah moja na imamu. Halafu imame abaki amekaa na huku kundi hilo liswali Rak´ah mbili zilizobaki na wakamilishe Maghrib.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (12) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-19-10-1434_0.mp3
Imechapishwa: 17/09/2017
https://firqatunnajia.com/ni-vipi-inaswaliwa-maghrib-ikiwa-ni-swalah-ya-khofu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)