Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amesema:
سَلَامٌ هِيَ حَتَّىٰ مَطْلَعِ الْفَجْرِ
“Ni amani mpaka kuchomoza alfajiri!”[1]
Bi maana usiku huo unaanza pale jua linapozama na mpaka kupambazuka kwa alfajiri. Kumepokelewa Hadiyth nyingi juu ya ubora wake na kwamba unakuwa katika Ramadhaan na katika zile nyusiku zake kumi za mwisho na inakuwa katika zile nyusiku za witiri. Usiku huo ni wenye kuendelea kila mwaka mpaka kisimame Qiyaamah. Ndio maana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya I´tikaaf na akifanya ´ibaadah kwa wingi katika zile siku kumi za mwisho za Ramadhaan kwa kutaraji usiku wa Qadr.
[1] 97:05
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Taysiyr-ul-Kariym, uk. 1098
- Imechapishwa: 16/05/2020
Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amesema:
سَلَامٌ هِيَ حَتَّىٰ مَطْلَعِ الْفَجْرِ
“Ni amani mpaka kuchomoza alfajiri!”[1]
Bi maana usiku huo unaanza pale jua linapozama na mpaka kupambazuka kwa alfajiri. Kumepokelewa Hadiyth nyingi juu ya ubora wake na kwamba unakuwa katika Ramadhaan na katika zile nyusiku zake kumi za mwisho na inakuwa katika zile nyusiku za witiri. Usiku huo ni wenye kuendelea kila mwaka mpaka kisimame Qiyaamah. Ndio maana Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifanya I´tikaaf na akifanya ´ibaadah kwa wingi katika zile siku kumi za mwisho za Ramadhaan kwa kutaraji usiku wa Qadr.
[1] 97:05
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Taysiyr-ul-Kariym, uk. 1098
Imechapishwa: 16/05/2020
https://firqatunnajia.com/ni-usiku-unakuweko-kila-mwaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)