Swali: Nini Tahniyk (التحنيك)? Ni ipi hukumu ya kufanya hivo? Je, ni jambo linalomuhusu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) peke yake?
Jibu: Tahniyk ni kuweka tende kwenye koo ya mtoto mchanga. Sio jambo maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) peke yake. Lakini anaweza kumfanya hivo baba yake, mama yake au mtu mwingine yeyote ili iwe kitu cha kwanza kitachoingia kooni mwake ni utamtam. Namna inavyotakiwa kufanywa kwanza aisagesage tende ile kisha aiingize kinywani mwa mtoto.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 27/10/2018
Swali: Nini Tahniyk (التحنيك)? Ni ipi hukumu ya kufanya hivo? Je, ni jambo linalomuhusu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) peke yake?
Jibu: Tahniyk ni kuweka tende kwenye koo ya mtoto mchanga. Sio jambo maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) peke yake. Lakini anaweza kumfanya hivo baba yake, mama yake au mtu mwingine yeyote ili iwe kitu cha kwanza kitachoingia kooni mwake ni utamtam. Namna inavyotakiwa kufanywa kwanza aisagesage tende ile kisha aiingize kinywani mwa mtoto.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 27/10/2018
https://firqatunnajia.com/ni-nini-tahniyk-na-ni-jambo-maalum-kwa-mtume-peke-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)