Swali: Je, inajuzu kuoa mwanamke ambaye kishatalikiwa zaidi ya mara saba na alikuwa akitumia madawa ya kulevya?
Jibu: Ni nani atakayemuoa na yeye ni mtumiaji wa madawa ya kulevya? Ni juu yake kutubia kwa Allaah. Ni lazima kwake kutubia kwa Allaah. Akitubia ndio aolewe. Haijuzu kwa mwanaume kumuoa na yeye ni mtumiaji wa madawa ya kulevya.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/5431
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Je, inajuzu kuoa mwanamke ambaye kishatalikiwa zaidi ya mara saba na alikuwa akitumia madawa ya kulevya?
Jibu: Ni nani atakayemuoa na yeye ni mtumiaji wa madawa ya kulevya? Ni juu yake kutubia kwa Allaah. Ni lazima kwake kutubia kwa Allaah. Akitubia ndio aolewe. Haijuzu kwa mwanaume kumuoa na yeye ni mtumiaji wa madawa ya kulevya.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/5431
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/ni-nani-atakayeoa-mwanamke-kama-huyu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)