Swali: Je, mtu anatakiwa kuanza kimpangilio yale mafungu manane kama alivyotaja Allaah (´Azza wa Jall)?
Jibu: Wenye haki zaidi ni mafukara. Mola (´Azza wa Jall) ameanza kuwataja wao. Wanafuatia ni masikini. Kwa sababu masikini ni wale ambao wanaweza kupata baadhi ya vitu na mafukara wanakuwa ni wahitaji zaidi.
Mwenye kuifanyia kazi (العامل عليها) ni wale wafanyakazi ambao wanaagizwa na mtawala kuichukua kutoka kwa watu. Kile wanachokichukua inakuwa ndio ni malipo yao.
Wale ambao zinalainishwa nyoyo zao zinatofautiana hali zao; huenda haja yao ikawa kubwa na huenda haja yao isiwe kubwa.
Kwa hivyo muumini anatakiwa kuwa makini zaidi ampe yule ambaye ni muhitaji zaidi kisha ambaye anafuatia kwa haja na ampe ambaye anafaa zaidi kisha anafuatia kwa kufaa zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21622/من-الاولى-بالبدء-في-اصناف-الزكاة-والصدقة
- Imechapishwa: 03/09/2022
Swali: Je, mtu anatakiwa kuanza kimpangilio yale mafungu manane kama alivyotaja Allaah (´Azza wa Jall)?
Jibu: Wenye haki zaidi ni mafukara. Mola (´Azza wa Jall) ameanza kuwataja wao. Wanafuatia ni masikini. Kwa sababu masikini ni wale ambao wanaweza kupata baadhi ya vitu na mafukara wanakuwa ni wahitaji zaidi.
Mwenye kuifanyia kazi (العامل عليها) ni wale wafanyakazi ambao wanaagizwa na mtawala kuichukua kutoka kwa watu. Kile wanachokichukua inakuwa ndio ni malipo yao.
Wale ambao zinalainishwa nyoyo zao zinatofautiana hali zao; huenda haja yao ikawa kubwa na huenda haja yao isiwe kubwa.
Kwa hivyo muumini anatakiwa kuwa makini zaidi ampe yule ambaye ni muhitaji zaidi kisha ambaye anafuatia kwa haja na ampe ambaye anafaa zaidi kisha anafuatia kwa kufaa zaidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21622/من-الاولى-بالبدء-في-اصناف-الزكاة-والصدقة
Imechapishwa: 03/09/2022
https://firqatunnajia.com/ni-nani-ambaye-ana-haki-zaidi-ya-kupewa-zakaah-katika-yale-mafungu-manne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)