Swali: Wakati mtu anapokusanya kati ya swalah ya Maghrib na ´Ishaa asome Adhkaar za Maghrib kati ya swalah hizo mbili halafu asimame kuswali na kusoma Adhkaar za ´Ishaa?
Jibu: Hapana. Aswali zote mbili kwanza kisha ndio asome Adhkaar baada ile swalah ya pili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
- Imechapishwa: 18/10/2017
Swali: Wakati mtu anapokusanya kati ya swalah ya Maghrib na ´Ishaa asome Adhkaar za Maghrib kati ya swalah hizo mbili halafu asimame kuswali na kusoma Adhkaar za ´Ishaa?
Jibu: Hapana. Aswali zote mbili kwanza kisha ndio asome Adhkaar baada ile swalah ya pili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/ni-lini-msafiri-analeta-adhkaar-anapokusanya-swalah-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)