Swali: Ni lini inaisha Takbiyr ya ´Iyd?
Jibu: Inaisha pale ambapo imamu anapohudhuria katika swalah. Pale wanapoanza kuswali imamu anafanya Takbiyr, na yeye pia atafanya Takbiyr mwanzoni mwa swalah na mwanzoni mwa Khutbah. Ama kuhusu waswaliji, Takbiyr yao inaisha wakati imamu anapokuja katika kiwanja cha swalah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/%205843
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Ni lini inaisha Takbiyr ya ´Iyd?
Jibu: Inaisha pale ambapo imamu anapohudhuria katika swalah. Pale wanapoanza kuswali imamu anafanya Takbiyr, na yeye pia atafanya Takbiyr mwanzoni mwa swalah na mwanzoni mwa Khutbah. Ama kuhusu waswaliji, Takbiyr yao inaisha wakati imamu anapokuja katika kiwanja cha swalah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/%205843
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/ni-lini-inaisha-takbiyr-ya-iyd-ul-fitwr__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)