Swali: Niliiwahi swalah ya kupatwa kwa jua katika Rukuu´ ya pili katika Rak´ah ya kwanza. Je, nahesabika nimewahi Rak´ah?
Jibu: Swalah ya kupatwa kwa jua ina Rak´ah mbili ambapo kila Rak´ah moja ina Rukuu´ mbili. Akiwahi ile Rukuu´ ya kwanza amewahi Rak´ah. Akipitwa na ile Rukuu´ ya kwanza amepitwa na Rak´ah. Kujengea juu ya haya akijiunga pamoja na imamu baada ya yeye kuinuka katika ile Rukuu´ ya kwanza basi amepitwa na Rak´ah. Hivyo anatakiwa kuilipa pale imamu atapopiga Tasliym.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1765
- Imechapishwa: 13/09/2020
Swali: Niliiwahi swalah ya kupatwa kwa jua katika Rukuu´ ya pili katika Rak´ah ya kwanza. Je, nahesabika nimewahi Rak´ah?
Jibu: Swalah ya kupatwa kwa jua ina Rak´ah mbili ambapo kila Rak´ah moja ina Rukuu´ mbili. Akiwahi ile Rukuu´ ya kwanza amewahi Rak´ah. Akipitwa na ile Rukuu´ ya kwanza amepitwa na Rak´ah. Kujengea juu ya haya akijiunga pamoja na imamu baada ya yeye kuinuka katika ile Rukuu´ ya kwanza basi amepitwa na Rak´ah. Hivyo anatakiwa kuilipa pale imamu atapopiga Tasliym.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1765
Imechapishwa: 13/09/2020
https://firqatunnajia.com/ni-lini-anazingatiwa-amewahi-rakah-katika-swalah-ya-kupatwa-kwa-jua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)