Swali: Mwanamke akitaka kwenda katika ´umrah au katika hajj ya wajibu ni lazima aandamane na Mahram au anaweza kwenda peke yake?
Jibu: Ni lazima aandamane na Mahram katika hajj na safari nyenginezo:
“Si halali kwa mwanamke anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Kuhusu hajj asipopata Mahram asubiri mpaka pale atapopata. Vinginevyo endapo atakata tamaa ya kupata Mahram basi amuwakilishe mtu atakayemfanyia hajj.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 12/01/2018
Swali: Mwanamke akitaka kwenda katika ´umrah au katika hajj ya wajibu ni lazima aandamane na Mahram au anaweza kwenda peke yake?
Jibu: Ni lazima aandamane na Mahram katika hajj na safari nyenginezo:
“Si halali kwa mwanamke anayemuamini Allaah na siku ya Mwisho kusafiri isipokuwa awe pamoja naye Mahram.”
Kuhusu hajj asipopata Mahram asubiri mpaka pale atapopata. Vinginevyo endapo atakata tamaa ya kupata Mahram basi amuwakilishe mtu atakayemfanyia hajj.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (83) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-15-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 12/01/2018
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-mwanamke-awe-na-mahram-katika-hajj-na-umrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)