Swali: Je, ni lazima kwa yule mwenye kuuona mwezi wa mwandamo kuwafikishia mamlaka husika?
Jibu: Ndio. Ni wajibu kwa yule mwenye kuuona kuwafikishia mamlaka husika juu ya kuingia na kuisha kwa Ramadhaan.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/72)
- Imechapishwa: 15/05/2018
Swali: Je, ni lazima kwa yule mwenye kuuona mwezi wa mwandamo kuwafikishia mamlaka husika?
Jibu: Ndio. Ni wajibu kwa yule mwenye kuuona kuwafikishia mamlaka husika juu ya kuingia na kuisha kwa Ramadhaan.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/72)
Imechapishwa: 15/05/2018
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-mwenye-kuona-mwezi-kuwafikishia-mamlaka-husika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)