Swali: Pindi mwanamume anapofiliwa na mke wake na akataka kumuoa dada wa huyo mwanamke ni lazima kwake kusubiri kiasi masiku ya eda ya yule mwanamke? Naomba kupewa fatwa katika mambo haya. Je, katika hali hii mwanaume anakaa eda?
Jibu: Sio lazima kwa yule anayefiliwa na mke wake na akataka kumuoa dada wa huyo mwanamke kusubiri kiwango cha eda yake kwa sababu ya kutokuwepo haja ya kufanya hivo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (18/11)
- Imechapishwa: 04/08/2017
Swali: Pindi mwanamume anapofiliwa na mke wake na akataka kumuoa dada wa huyo mwanamke ni lazima kwake kusubiri kiasi masiku ya eda ya yule mwanamke? Naomba kupewa fatwa katika mambo haya. Je, katika hali hii mwanaume anakaa eda?
Jibu: Sio lazima kwa yule anayefiliwa na mke wake na akataka kumuoa dada wa huyo mwanamke kusubiri kiwango cha eda yake kwa sababu ya kutokuwepo haja ya kufanya hivo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (18/11)
Imechapishwa: 04/08/2017
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-mwanaume-anayefiliwa-na-mkewe-kusubiri-masiku-kadhaa-kabla-ya-kuoa-mke-mwengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)