Kama ilivyo kwa wanamme mwanamke ana jukumu juu ya matendo yake. Kwa hivyo ni lazima kwake kujifunza yale ambayo yanamlazimu kufanya ili aweze kutekeleza mambo yake ya wajibu kwa yakini.
Kama yuko na baba, kaka, mume au mwanamme mwengine ambaye hairuhusu kwake kumuoa ambaye atamfunza mambo ya wajibu na namna atakavyoyafanya, basi inatosha. Vinginevyo anapaswa kuuliza na kusoma. Jambo la kwanza anatakiwa kuhakikisha anasoma kutoka kwa mwanamke mwenzake. Akikosekana mwanamke, basi aende kwa wanamme watuwazima na amsomeshe. Hata hivyo asiketi nao faragha. Katika hali hiyo mwanamke ajifunze yale ambayo ni lazima na si zaidi ya hapo.
- Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin al-Jawziy al-Hanbaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-un-Nisaa’, uk. 12
- Imechapishwa: 16/04/2020
Kama ilivyo kwa wanamme mwanamke ana jukumu juu ya matendo yake. Kwa hivyo ni lazima kwake kujifunza yale ambayo yanamlazimu kufanya ili aweze kutekeleza mambo yake ya wajibu kwa yakini.
Kama yuko na baba, kaka, mume au mwanamme mwengine ambaye hairuhusu kwake kumuoa ambaye atamfunza mambo ya wajibu na namna atakavyoyafanya, basi inatosha. Vinginevyo anapaswa kuuliza na kusoma. Jambo la kwanza anatakiwa kuhakikisha anasoma kutoka kwa mwanamke mwenzake. Akikosekana mwanamke, basi aende kwa wanamme watuwazima na amsomeshe. Hata hivyo asiketi nao faragha. Katika hali hiyo mwanamke ajifunze yale ambayo ni lazima na si zaidi ya hapo.
Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin al-Jawziy al-Hanbaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-un-Nisaa’, uk. 12
Imechapishwa: 16/04/2020
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-mwanamke-kutafuta-elimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)