Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa msafiri kuswali pamoja na mkusanyiko msikitini?
Jibu: Ndio. Ikiwa anasikia adhaana na anaishi karibu na msikiti, basi haijuzu kwake kuswali nyumbani kwake. Bali anatakiwa kwenda kuswali pamoja na mkusanyiko:
“Mwenye kusikia adhaana na asiiendee, basi hana swalah isipokuwa akiwa na udhuru.” Wakasema: “Ni udhuru upi, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Khofu au maradhi.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
- Imechapishwa: 22/07/2018
Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa msafiri kuswali pamoja na mkusanyiko msikitini?
Jibu: Ndio. Ikiwa anasikia adhaana na anaishi karibu na msikiti, basi haijuzu kwake kuswali nyumbani kwake. Bali anatakiwa kwenda kuswali pamoja na mkusanyiko:
“Mwenye kusikia adhaana na asiiendee, basi hana swalah isipokuwa akiwa na udhuru.” Wakasema: “Ni udhuru upi, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Khofu au maradhi.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
Imechapishwa: 22/07/2018
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-msafiri-kuswali-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)