Swali: Je, mayahudi na manaswara baada ya kutumwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni lazima kuingia katika Uislamu?
Jibu: Hapana shaka. Ni lazima kwa viumbe wote, watu na wanaadamu, kuingia katika Uislamu na kumfuata Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yule asiyemfuata ni kafiri. Ni mamoja akawa mayahudi, mnaswara au mwengine. Asiyemfuata ni kafiri ambaye amemkana Allaah (´Azza wa Jall). Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hatosikia yeyote kuhusu mimi, myahudi au mnaswara, halafu asiamini yale niliyokuja nayo isipokuwa ataingia Motoni.”
- Mhusika: Imaam Swalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=oMoaMLGx4k0
- Imechapishwa: 19/11/2017
Swali: Je, mayahudi na manaswara baada ya kutumwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni lazima kuingia katika Uislamu?
Jibu: Hapana shaka. Ni lazima kwa viumbe wote, watu na wanaadamu, kuingia katika Uislamu na kumfuata Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yule asiyemfuata ni kafiri. Ni mamoja akawa mayahudi, mnaswara au mwengine. Asiyemfuata ni kafiri ambaye amemkana Allaah (´Azza wa Jall). Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hatosikia yeyote kuhusu mimi, myahudi au mnaswara, halafu asiamini yale niliyokuja nayo isipokuwa ataingia Motoni.”
Mhusika: Imaam Swalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=oMoaMLGx4k0
Imechapishwa: 19/11/2017
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-mayahudi-na-manaswara-kuingia-katika-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)