Swali: Ni lazima kwa mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kujizuia na kula na kunywa wakisafika mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi wakisafika mchana wa Ramadhaan sio wajibu kwao kujizuia na kula na kunywa. Anapata ruhusa ya kula na kunywa. Kujizuia kwake hakuna maana yoyote kwa kuwa ni wajibu kwao kuilipa siku hiyo. Haya ndio maoni ya Maalik, ash-Shaafi´iy na Imaam Ahmad. Imepokelewa vilevile kutoka kwa Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) ya kwamba amesema:
“Mwenye kula mwanzoni mwa mchana basi na ale mwishoni mwake.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/99)
- Imechapishwa: 03/06/2017
Swali: Ni lazima kwa mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kujizuia na kula na kunywa wakisafika mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi wakisafika mchana wa Ramadhaan sio wajibu kwao kujizuia na kula na kunywa. Anapata ruhusa ya kula na kunywa. Kujizuia kwake hakuna maana yoyote kwa kuwa ni wajibu kwao kuilipa siku hiyo. Haya ndio maoni ya Maalik, ash-Shaafi´iy na Imaam Ahmad. Imepokelewa vilevile kutoka kwa Ibn Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) ya kwamba amesema:
“Mwenye kula mwanzoni mwa mchana basi na ale mwishoni mwake.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/99)
Imechapishwa: 03/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kwa-anayepata-hedhi-na-nifasi-mchana-wa-ramadhaan-kujizuia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)