Swali: Je, Qur-aan na Sunnah vinatosha ili mtu aijue ´Aqiydah na misingi ya dini pasi na kuhitajia maneno ya wanachuoni?
Jibu: Ni lazima kwa mtu kukusanya kati ya mambo hayo. Unatakiwa kuijua Sunnah na ´Aqiydah sahihi pamoja vilevile na ´Aqiydah mbalimbali ambazo ni batili ili zisikutatize.
Nimejifunza shari
sio kwa sababu naitaka hiyo shari, lakini ili nijiepushe nayo
Yule asiyeijua shari kutokamana na kheri
basi atatumbukia ndani yake
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
- Imechapishwa: 01/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)