Swali: Inafaa kwa mume kumtaliki mke mwenye kuacha swalah na amekwishamnasihi mara nyingi juu ya jambo hili lakini hata hivyo haisaidii kitu?
Jibu: Ndio. Ni lazima kwake kumtaliki. Ni lazima kwake kufanya hivo. Ikiwa anaacha swalah kwa makusudi na wala hatubii, basi ni lazima kwake kumtaliki na kujiweka mbali naye ili asije kuwalea watoto wake juu ya hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
- Imechapishwa: 07/05/2019
Swali: Inafaa kwa mume kumtaliki mke mwenye kuacha swalah na amekwishamnasihi mara nyingi juu ya jambo hili lakini hata hivyo haisaidii kitu?
Jibu: Ndio. Ni lazima kwake kumtaliki. Ni lazima kwake kufanya hivo. Ikiwa anaacha swalah kwa makusudi na wala hatubii, basi ni lazima kwake kumtaliki na kujiweka mbali naye ili asije kuwalea watoto wake juu ya hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
Imechapishwa: 07/05/2019
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kumtaliki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)