Swali: Kuhusiana na kurudiana, baadhi ya watu wamesema kuwa asiraddiwe kila mmoja na wakasema:
“Ni nani atakayebaki endapo ataraddiwa kila mmoja?”
Je, haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, haya sio makusudio. Watu hawatakiwi kukemeana katika mambo ya Ijtihaad. Kwa mfano mmoja anaonelea kuwa nyama ya ngamia inachengua wudhuu´ na mwengine haonelei hivo. Katika halii huyu wa kwanza hatakiwi kumraddi huyu wa pili.
Kuhusu mzushi anayelingania katika Bid´ah, ni lazima araddiwe. Bid´ah sio suala la ki-Ijtihaad. Salaf wote wameafikiana juu ya kutupilia mbali Bid´ah. Hapa hakuna jambo la kufadhilishana.
Kuhusu mambo ya ki-Fiqh yaliyojengeka juu ya Ijtihaad na ambayo wanazuoni wametofautiana, haitakiwi kumraddi kila yule anayekwenda kinyume na maoni ya mwengine. Endapo tutafungua mlango huu, basi kila mmoja angelikuwa mwenye kumraddi mwenzie.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (127 B) Tarehe: 1417-01-27/1996-06-13
- Imechapishwa: 12/07/2021
Swali: Kuhusiana na kurudiana, baadhi ya watu wamesema kuwa asiraddiwe kila mmoja na wakasema:
“Ni nani atakayebaki endapo ataraddiwa kila mmoja?”
Je, haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, haya sio makusudio. Watu hawatakiwi kukemeana katika mambo ya Ijtihaad. Kwa mfano mmoja anaonelea kuwa nyama ya ngamia inachengua wudhuu´ na mwengine haonelei hivo. Katika halii huyu wa kwanza hatakiwi kumraddi huyu wa pili.
Kuhusu mzushi anayelingania katika Bid´ah, ni lazima araddiwe. Bid´ah sio suala la ki-Ijtihaad. Salaf wote wameafikiana juu ya kutupilia mbali Bid´ah. Hapa hakuna jambo la kufadhilishana.
Kuhusu mambo ya ki-Fiqh yaliyojengeka juu ya Ijtihaad na ambayo wanazuoni wametofautiana, haitakiwi kumraddi kila yule anayekwenda kinyume na maoni ya mwengine. Endapo tutafungua mlango huu, basi kila mmoja angelikuwa mwenye kumraddi mwenzie.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (127 B) Tarehe: 1417-01-27/1996-06-13
Imechapishwa: 12/07/2021
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kumraddi-mzushi-anayelingania-katika-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)