Swali: Mwanachuoni akimsimamishia hoja mpinzani kwa kumkufurisha, kumfanyia Tabdiy´ au Tafsiyq – je, italazimika kwa mtu kufuata fatwa ya mwanachuoni huyu au ni lazima kwake mwenyewe pia kusimamisha hoja?
Jibu: Hapana, sio sharti. Jambo la lazima ni yeye akinaike kwamba haki imesimamishwa juu ya mtu huyu ambaye mtu anataka kumkufurisha, kumfanyia Tafsiyq au Tabdiy´. Vinginevyo suala hili linakuwa endelevu lisilokuwa na mwisho.
- Mhusika: Imâm Muhammad Nâsir-ud-Dîn al-Albânî
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (778)
- Imechapishwa: 17/01/2021
Swali: Mwanachuoni akimsimamishia hoja mpinzani kwa kumkufurisha, kumfanyia Tabdiy´ au Tafsiyq – je, italazimika kwa mtu kufuata fatwa ya mwanachuoni huyu au ni lazima kwake mwenyewe pia kusimamisha hoja?
Jibu: Hapana, sio sharti. Jambo la lazima ni yeye akinaike kwamba haki imesimamishwa juu ya mtu huyu ambaye mtu anataka kumkufurisha, kumfanyia Tafsiyq au Tabdiy´. Vinginevyo suala hili linakuwa endelevu lisilokuwa na mwisho.
Mhusika: Imâm Muhammad Nâsir-ud-Dîn al-Albânî
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (778)
Imechapishwa: 17/01/2021
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kufuata-takfiyr-na-tabdiy-ya-mwanachuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)