Swali: Ni ipi hukumu ya kuwatahiri watoto wa kike?
Jibu: Ni jambo limeruhusiwa [mubaah]. Kuwatahiri wasichana ni jambo limeruhusiwa. Lakini mtu asifanye ubadhirifu. Ni lazima mwenye kufanya hivo awe ni mwanamke mwenye uzowefu mwenye kujua kutahiri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwatahiri watoto wa kike?
Jibu: Ni jambo limeruhusiwa [mubaah]. Kuwatahiri wasichana ni jambo limeruhusiwa. Lakini mtu asifanye ubadhirifu. Ni lazima mwenye kufanya hivo awe ni mwanamke mwenye uzowefu mwenye kujua kutahiri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-anayewatahiri-watoto-awe-na-uzoefu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)