Swali: Nimemsikia mtu akimnukuu ´Allaamah Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) kwamba ametoa fatwa kujuzu kufaa kuswali swalah ya Dhuhaa’ pasi na wudhuu´?
Jibu: Maneno haya ni batili. Ni maafa yepi ya khabari isipokuwa wapokezi wake pale walipomkadhibisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)! Maneno haya si kweli. Swalah haisihi pasi na wudhuu´ kwa maafikiano ya waislamu. Allaah (Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَقْرَبُوا الصَّلَاةَ وَأَنتُمْ سُكَارَىٰ حَتَّىٰ تَعْلَمُوا مَا تَقُولُونَ وَلَا جُنُبًا إِلَّا عَابِرِي سَبِيلٍ حَتَّىٰ تَغْتَسِلُوا ۚ وَإِن كُنتُم مَّرْضَىٰ أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ أَوْ جَاءَ أَحَدٌ مِّنكُم مِّنَ الْغَائِطِ أَوْ لَامَسْتُمُ النِّسَاءَ فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا صَعِيدًا طَيِّبًا فَامْسَحُوا بِوُجُوهِكُمْ وَأَيْدِيكُمْ
“Enyi walioamini! Msikaribie swalah na hali mmelewa mpaka mjuekile mnachokisema na wala mkiwa mna janaba isipokuwa mmo safarini mpaka muoge josho na mkiwa wagonjwa au safarini au mmoja wenu ametoka msalani au mmewagusa [kuwajamii] wanawake kisha hamkupata maji, basi fanye Tayammum kwa ardhi safi ya mchanga – pakeni nyuso zenu na mikono yenu. Hakika Allaah ni Mwingi wa kusamehe, Mwingi wa kusamehe.”[1]
[1] 04:43
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 10/05/2019
Swali: Nimemsikia mtu akimnukuu ´Allaamah Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) kwamba ametoa fatwa kujuzu kufaa kuswali swalah ya Dhuhaa’ pasi na wudhuu´?
Jibu: Maneno haya ni batili. Ni maafa yepi ya khabari isipokuwa wapokezi wake pale walipomkadhibisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)! Maneno haya si kweli. Swalah haisihi pasi na wudhuu´ kwa maafikiano ya waislamu. Allaah (Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَقْرَبُوا الصَّلَاةَ وَأَنتُمْ سُكَارَىٰ حَتَّىٰ تَعْلَمُوا مَا تَقُولُونَ وَلَا جُنُبًا إِلَّا عَابِرِي سَبِيلٍ حَتَّىٰ تَغْتَسِلُوا ۚ وَإِن كُنتُم مَّرْضَىٰ أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ أَوْ جَاءَ أَحَدٌ مِّنكُم مِّنَ الْغَائِطِ أَوْ لَامَسْتُمُ النِّسَاءَ فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا صَعِيدًا طَيِّبًا فَامْسَحُوا بِوُجُوهِكُمْ وَأَيْدِيكُمْ
“Enyi walioamini! Msikaribie swalah na hali mmelewa mpaka mjuekile mnachokisema na wala mkiwa mna janaba isipokuwa mmo safarini mpaka muoge josho na mkiwa wagonjwa au safarini au mmoja wenu ametoka msalani au mmewagusa [kuwajamii] wanawake kisha hamkupata maji, basi fanye Tayammum kwa ardhi safi ya mchanga – pakeni nyuso zenu na mikono yenu. Hakika Allaah ni Mwingi wa kusamehe, Mwingi wa kusamehe.”[1]
[1] 04:43
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 10/05/2019
https://firqatunnajia.com/ni-kweli-ibn-baaz-amejuzisha-kuswali-dhuhaa-bila-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)