Swali: Je, anakufuru yule ambaye anapinga baadhi ya sifa za Allaah au zote?
Jibu: Hili linahitaji upambanuzi. Anatakiwa kusimamishiwa hoja kwa sababu anaweza kujahili baadhi ya sifa. Anatakiwa kubainishiwa yale yaliyofahamishwa na Qur-aan na Sunnah. Akipinga Mwingi wa huruma (ar-Rahmaan), Mwenye nguvu zisizoshindikana (al-´Aziyz), Mwingi wa hekima (al-Hakiym), Mtakasifu aliyetakasika (al-Qudduus), mfalme (al-Malik) anakufuru. Akiwa ni mtu ambaye si msomi abainishiwe yale yaliyotajwa ndani ya Qur-aan na Hadiyth Swahiyh.
Swali: Vipi ikiwa anapindisha maana ya sifa?
Jibu: Kupindisha maana ya sifa kunatofautiana. Ni kama mfano wa ´Ashaa´irah. Wako ambao wanawakufurisha na wengine hawafanyi hivo. Kupindisha maana ya sifa ni jambo lina shubuha. Ni tofauti na Mu´tazilah na Jahmiyyah ambao ni makafiri. Kwa sababu wamepinga sifa zote na wakapinga pia majina.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 100
- Imechapishwa: 13/08/2019
Swali: Je, anakufuru yule ambaye anapinga baadhi ya sifa za Allaah au zote?
Jibu: Hili linahitaji upambanuzi. Anatakiwa kusimamishiwa hoja kwa sababu anaweza kujahili baadhi ya sifa. Anatakiwa kubainishiwa yale yaliyofahamishwa na Qur-aan na Sunnah. Akipinga Mwingi wa huruma (ar-Rahmaan), Mwenye nguvu zisizoshindikana (al-´Aziyz), Mwingi wa hekima (al-Hakiym), Mtakasifu aliyetakasika (al-Qudduus), mfalme (al-Malik) anakufuru. Akiwa ni mtu ambaye si msomi abainishiwe yale yaliyotajwa ndani ya Qur-aan na Hadiyth Swahiyh.
Swali: Vipi ikiwa anapindisha maana ya sifa?
Jibu: Kupindisha maana ya sifa kunatofautiana. Ni kama mfano wa ´Ashaa´irah. Wako ambao wanawakufurisha na wengine hawafanyi hivo. Kupindisha maana ya sifa ni jambo lina shubuha. Ni tofauti na Mu´tazilah na Jahmiyyah ambao ni makafiri. Kwa sababu wamepinga sifa zote na wakapinga pia majina.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 100
Imechapishwa: 13/08/2019
https://firqatunnajia.com/ni-kwa-nini-asikufurishwe-anayepinga-sifa-na-majina-yote-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)