Swali: Kuna umuhimu kiasi gani ya kujua vikwazo vya Takfiyr? Ni kitabu kipi kizuri katika maudhui haya?
Jibu: Ni lazima kwa mtu kujua mambo yenye kukufurisha. Akishayajua basi ajizuie nayo. Kitabu bora ni hiki cha Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab ambacho hivi sasa tunakisherehesha. Ni kitabu kifupi na chenye kuenea. Vilevile kuna mlango katika vitabu vya Fiqh katika kila madhehebu ambao umetengwa ukibainisha vitenguzi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 33-34
- Imechapishwa: 11/05/2018
Swali: Kuna umuhimu kiasi gani ya kujua vikwazo vya Takfiyr? Ni kitabu kipi kizuri katika maudhui haya?
Jibu: Ni lazima kwa mtu kujua mambo yenye kukufurisha. Akishayajua basi ajizuie nayo. Kitabu bora ni hiki cha Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab ambacho hivi sasa tunakisherehesha. Ni kitabu kifupi na chenye kuenea. Vilevile kuna mlango katika vitabu vya Fiqh katika kila madhehebu ambao umetengwa ukibainisha vitenguzi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 33-34
Imechapishwa: 11/05/2018
https://firqatunnajia.com/ni-kitabu-kipi-bora-kinachozungumzia-mambo-yanayomtoa-mtu-katika-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)