Swali: Ni kilomita ngapi itakuwa ni wajibu kuacha kufunga? Vipi ikiwa mtu atafunga na asile?
Jibu: Baadhi ya wanachuoni wameruhusu kufupisha swalah na kula mchana wa Ramadhaan kwa kile ile ambayo inaitwa “safari”. Wanachuoni wengi wameweka mpaka wa kilomita 80.
Anayefunga kwenye safari ambayo anaruhusiwa kuacha kufunga swawm yake ni sahihi kutokana na dalili zinazofahamisha juu ya hilo. Hakuna neno kwake. Isipokuwa swawm ikimdhuru. Katika hali hii itakuwa imekokotezwa zaidi kwake kula kutokana na maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Sio katika wema kufunga safarini.”[1]
[1] Muslim (02/786), Ahmad (03/299), Abu Daawuud (02/796) na wengineo
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/203)
- Imechapishwa: 06/06/2017
Swali: Ni kilomita ngapi itakuwa ni wajibu kuacha kufunga? Vipi ikiwa mtu atafunga na asile?
Jibu: Baadhi ya wanachuoni wameruhusu kufupisha swalah na kula mchana wa Ramadhaan kwa kile ile ambayo inaitwa “safari”. Wanachuoni wengi wameweka mpaka wa kilomita 80.
Anayefunga kwenye safari ambayo anaruhusiwa kuacha kufunga swawm yake ni sahihi kutokana na dalili zinazofahamisha juu ya hilo. Hakuna neno kwake. Isipokuwa swawm ikimdhuru. Katika hali hii itakuwa imekokotezwa zaidi kwake kula kutokana na maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Sio katika wema kufunga safarini.”[1]
[1] Muslim (02/786), Ahmad (03/299), Abu Daawuud (02/796) na wengineo
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/203)
Imechapishwa: 06/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-kilomita-ngapi-zinamruhusu-mtu-kufupisha-swalah-na-kutofunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)