Swali: Kuna mtu ana wake wawili. Mmoja katika wao akamnyonyesha mtoto wa kiume. Je, yule mke mwingine anahitajia kujifunika mbele ya mtoto huyu pindi atapobaleghe?
Jibu: Hapana. Ni mama wake wa kunyonya. Ni kama mfano wa mamake wa kambo. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Unyonyaji unaharamisha yale yanayoharamishwa katika nasabu.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
- Imechapishwa: 14/10/2017
Swali: Kuna mtu ana wake wawili. Mmoja katika wao akamnyonyesha mtoto wa kiume. Je, yule mke mwingine anahitajia kujifunika mbele ya mtoto huyu pindi atapobaleghe?
Jibu: Hapana. Ni mama wake wa kunyonya. Ni kama mfano wa mamake wa kambo. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Unyonyaji unaharamisha yale yanayoharamishwa katika nasabu.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
Imechapishwa: 14/10/2017
https://firqatunnajia.com/ni-kama-mama-wa-kambo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)